MARIAM DITOPILE AHAIDI MIFUKO 100 ZA SARUJI UJENZI WA BWENI SHULE YA VIZIWI KONGWA

Na Barnabas Kisengi Dodoma MBUNGE wa Viti Maalum Mariam Ditopile ameahidi mifuko ya saruji 100 kwa ajili ya ujenzi wa bweni la wanafunzi katika shule maalum Kongwa kitengo cha viziwi ili kuondoa changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu. Msaada huo umefuatia baada ya kusomwa kwa taarifa ya shule inayoonyesha uwepo wa wanafunzi wanaoshindwa kuhudhuria masomo